Tekinolojia ya Mbili-Mbili; kuongeza uzalishaji wa mikunde Afrika Mashariki

Citation

Kihara, J.M.; Kinyua, M.W. (2022) Tekinolojia ya Mbili-Mbili; kuongeza uzalishaji wa mikunde Afrika Mashariki. Muhtasari wa tekinolojia 4 p.

Abstract/Description

Mbili-Mbili ni mkakati wa kilimo mseto cha nafaka na mikunde unaohusisha upandaji wa mazao matatu yenye ukuaji na mpangilio tofauti shambani. Tekinolojia hii ilitengenezwa kwa mfumo wa utafiti wa Afrika katika uimarishaji maendeleo endelevu kwa kizazi kijacho. Mradi wa Africa RISING umelenga kuwasaidia wakulima wadogowadogo kuondokana na njaa, uhaba wa chakula, Utapiamlo na umaskini. Hapo awali, kazi kubwa ilifanyika kukuza mazoea ya matumizi ya mbinu bora za kilimo kama vile mchanganyiko wa mbinu za utunzaji rutuba ya udongo (ISFM) ambazo zimeongeza tija ya mahindi kwa mafanikio mazuri.

Permanent link to cite or share this item

External link to download this item

DOI

Author ORCID identifiers

Contributes to SDGs

SDG 2 - Zero hungerSDG 13 - Climate action

Organizations Affiliated to the Authors

CGIAR Action Areas

CGIAR Initiatives

Related Material
Related Citation
Kihara, J.M.; Kinyua, M.W. (2022) Mbili-Mbili technology: Increasing legume production in East Africa. Technology Brief 4 p.

Share

Type

Review Status

Language

sw

Regions

Access Rights

Open Access Open Access

Usage Rights

CC-BY-4.0

Attention