Tekinolojia ya Mbili-Mbili; kuongeza uzalishaji wa mikunde Afrika Mashariki
Citation
Kihara, J.M.; Kinyua, M.W. (2022) Tekinolojia ya Mbili-Mbili; kuongeza uzalishaji wa mikunde Afrika Mashariki. Muhtasari wa tekinolojia 4 p.
Abstract/Description
Mbili-Mbili ni mkakati wa kilimo mseto cha nafaka na mikunde unaohusisha upandaji wa mazao matatu yenye ukuaji na mpangilio tofauti shambani. Tekinolojia hii ilitengenezwa kwa mfumo wa utafiti wa Afrika katika uimarishaji maendeleo endelevu kwa kizazi kijacho. Mradi wa Africa RISING umelenga kuwasaidia wakulima wadogowadogo kuondokana na njaa, uhaba wa chakula, Utapiamlo na umaskini. Hapo awali, kazi kubwa ilifanyika kukuza mazoea ya matumizi ya mbinu bora za kilimo kama vile mchanganyiko wa mbinu za utunzaji rutuba ya udongo (ISFM) ambazo zimeongeza tija ya mahindi kwa mafanikio mazuri.
Permanent link to cite or share this item
External link to download this item
DOI
Author ORCID identifiers
Job Kihara https://orcid.org/0000-0002-4394-9553
Luka M. Wanjohi https://orcid.org/0000-0003-2108-4007
Luka M. Wanjohi https://orcid.org/0000-0003-2108-4007
Organizations Affiliated to the Authors
Investors/sponsors
CGIAR Action Areas
CGIAR Impact Areas
CGIAR Initiatives
Related Material
Related reference: https://hdl.handle.net/10568/125404
Related Citation
Kihara, J.M.; Kinyua, M.W. (2022) Mbili-Mbili technology: Increasing legume production in East Africa. Technology Brief 4 p.
Type
Review Status
Language
sw
